Hata hivyo mchezaji huyo aliomba radhi kwa tendo hilo
alilolifanya na kuahidi hatorudia tena. Suarez ambaye atakuwa nje kwa miezi minne. Awali club yake ya
sasa Barcelona imejitahidi kwenda mahakamani ili walau apunguziwe adhabu hiyo,
matokeo yake wamegonga mwamba. Hivyo barcelona kusubiri mpaka pale muda wake utakapofika kuruhusiwa kuingia uwanjani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment