Menu

Kuna utafiti wa kisayansi umefanyika mwaka jana kuwa unasema kuwa lonely (mpweke) ni mbaya kwa afya yako zaidi ya yule anaevuta sigara 15 kwa siku.
 Ilikuwa ni mshtuko kwangu kwamba  kutokuwa na uwezo wa kuweza kuwavutia wanawake licha ya kutokuwa na furaha bali itaniletea matatizo ya kiafya. 
Lakini kama unaweza kuchagua kuacha sigara unaweza kuchagua kuwa bora kwa wanawake. Na mimi nilikuwa tayari nimechoka kuwa mzembe na bongololo kwa wanawake.
 Kuacha kuvuta sigara ni moja ya mambo magumu zaidi kwa mtu wa kawaida kujaribu kupotezea sigara , kiwango cha kushindwa kwa mara ya kwanza ni zaidi ya 83%. Lakini wale ambao kufanya hivyo kwa kupata mwongozo na msaada wa wengine, basi mafanikio yatatokea kwa zaidi ya ushindi wa  asilimia 312.

Hii imenifanya niweze kutambua kuwa nahitaji msaada ili niweze kuwavuta na kuwapata wanawake (yaani wanishobokee)  nilikuwa tayari kupata maarifa na kujiweka katika hali nzuri na kipiga hatua  kwa kupata msaada kutoka kwa mtu ambaye tayari huwa nakuwa na type ya wanawake ambao mimi pia ndio nao wahitaji (yaan wako so hot and intelligents) ).
 Unaweza kuona, mimi nilivyokuwa bongololo  (very lame) linapokuja swala la kukutana, kuchati au kuzungumza na wanawake.
Mimi nilikuwa safi tu pale napozungukwa na wanawake ambao hawanivutii, lakini pale tu utakapo niweka au kujikuta nipo mbele ya mwanamke anaye nivutia ... duuuuuu!!!
 basi confidence itashuka paaaa! kama vile kama panya aliyechanganyikiwa akikutwa kwenye chumba.
lakini rafiki yangu mmoja wakike alinishauri, "be yourself" yaani niwe kama nilivyo tu. Lakini hilo halikunisaidia. Kwa kweli na hilo lilikuwa tena tatizo lingine! Nilikuwa mwenyewe tu kama siku zote ila napozungukwa na wanawake hawa ... hofu hutanda na kunitawala kama siku zote.nilisema.
basi poa, ila kuwa na ujasiri! "aliweza kuniambia yule dada.
nikaanza kujiuliza kwa namna gani Jinsi navyoweza kuwa na ujasiri yaani (confidence)  lakini nikuwaje na ujasiri wakati sina huo ujasiri? swala si kuwanao huo ujasiri bali niwewe mwenyewe kuamua kuwa jasiri na kuamini kuwa unauwezo kama wengine, basi unaweza kutokuwwa na ujasiri au kutokuwa nao kama awali. muda na saa yoyote just maamuzi yako tu, alisema yule dada.
kuna story moja ya jamaa imenisaidia sana.
Josh amesaidia maelfu ya wanaume kutokuwa mabachela na kuwa miongoni mwa wanaume wanao wavutia na wapagawisha wakina dada popote pale..
 Baada ya kuwa featured kwenye NBC  "The today Show" mfumo wake umefanikiwa kuuzwa mamia na maelfu kwa nakala zake kote ulimwenguni, ili kufanya jamii ya watu kutoka  kila nchi kuwa na lengo moja; kusaidia watu single kuwa na mafanikio na wanawake.
Safari yangu kwenda kumsaka Joshua na kupata mafundisho yake ilichukua karibu miezi 6, na wakati huo mimi mwenyewe nikaanza jujaribu njia nyingi tofauti kama:
1. ONLINE DATING
Mantiki yangu ilikuwa rahisi. Siwezi kuzungumza na wanawake, lakini naweza ku type au kuchatt kama vile secretary . nilipokuwa online nilitengezeneza profile langu zuri na kuweka sifa zangu nzuri nzuri(my good qualities) 
wanawake wakaanza kinitumia request na meseji nyingi sana. lakini baadae nishtukia jinsi gani nilivyokuwa mjinga wakati nachati na hao kina dada kwa kutozingatia na kujifunza kanuni kabla ya kuanza kuchati nao, haikunifikisha popote.
 2. KUTOJIAMIN.
niwazi nilitambua baada ya kuambiwa kuwa kukosa ujasiri ndio ulikuwa msingi mkubwa ulionifanya nisipate mafanikio. Kama ningeweza kuwa na ushupavu huo basi ningekuwa nimepata warembo. Nikaamua katoa  dola150 kupata hypnosis course ambayo ilinifanya  nisikilize kwa saa 1 kila siku kwa muda wa siku 28.
nilipata mafunzo yakutosha yanayosisitiza namna gani yakujitambua kiimani na namna gani ya kuweza kujiamini, kikubwa ni kuweza kuindoa aibu yangu na kuwa ngangari. lakini tabia yangu haikubadilika bado nikawa vilevile napokutana na wanawake warembo. baada ya siku 33 nilitambua jinsi gani ambavyo nimepoteza muda tu na garama zangu.




3 BADASS SYSTEM. 
mwanzo nilisita kujaribu hata hili, nilikuwa sipendi kutumia mbinu za kisaikologia kuwashawishi warembo. na sikuwa tayari kuanza kujifunza mbinu hizo kwa kupata kazi ngumu sana kusoma mamia ya kurasa na kusoma forums tofauti tofauti za watu.
lakini punde tu nikajitahidi kitu fulani, umewahi kusikia kanuni za Pareto? Inasema hivi, asilimia 20% ya juhudi yako inajenga 80% ya matokeo yako. Mara baada ya mimi nia yangu ya kujifunza na kuchukua hatua juu ya 20% tu ya kile nilichokipata kutoka kwaTao Of Badass System niliweza kufanikwa kupata matokeo 80% ya mtu ambaye alikuwa ameifamu ile kozi vizuri.
Tangia siku hiyo nilijifunza mambo yafuatayo:
1.  Jinsi ya kuacha kuji lock mwenyewe kwa kuchukua ushauri kutoka kwa rafiki huyohuyo pekee.haipingikii unaweza kuwa na uhakika wa mwanamke na kuwa ataingia kwenye nyavu yako, bila kujali anachokisema.
 2. Jinsi ya wewe utakavyo kaa na kuweka pozi ndio unaweza pia kumpoteza mrembo hapohapo.
3.  Jinsi utakavyo weka mapozi yakutembea pia ni njia moja ambayo itawafanya warembo kugeuza vichwa vyao kwa kukuangalia wewe.
4.  jinsi utakavyo cheza na mind  itawafanya wanawake kutaka kuwa na wewe ... uncontrollably. lakini haya machache ni muhimu kama sukari tamu ipambavyo juu ya keki na kukutoa udenda.
muhimu zaidi kwangu kwasasa natumia mkakati, kama njia ambayo imenitoa kutoka nilipokuwa mpaka pale ninapopapenda kuwa.
nimejaribu na kutafiti njia ambazo zimekaa kisayansi kujisaidia mwenyewe ambazo zinatoa msukumo na faraja.
 Nikawa jasiri na warembo kwa sababu sikuwa na cheza mchezo biloa kufata taratibu zakufata. kwasasa sitatui tatizo bila kutumia nyenzo husika.
hayo yote yalianza na story ya samaki.
ukitaka kuona video bonyeza hii linki.

0 comments:

Post a Comment

 
Top