Imethibitika kuwa Fernando Torres anaweza kuihama
Chelsea mapema baada ya kikosi hicho cha Stamford Bridge kukamilika kwa
wachezaji mashuhuri na kocha wake Jose kutokuwa chagua la kwanza au kupewa kipaumbele
kama ilivyotarajiwa wakati anajiunga na kikosi hicho akitokea Liverpool. Torres anaweza kupewa ofa ya kwenda Roma kwa mkopo. Hata hivyo inatarajiwa kuwwa atakihama kikosi
hicho pamoja na mwenzake golikipa Petr Cech baada ya kuona atasugua benchi hapo
Stamford Bridge.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment