Menu

Arsenal tayari sasa wanaanza mbio za kusaka kiungo wa kati baada ya nahodha wao Arteta kupata majeruhi  katika mechi iliyochezwa Jumanne iliyopita. 


William Carvalho na Sami Khedira 
Wenger akishuhudia mchezaji wake akitoka nje
Mtanange uliochezwa kati ya Arsenal na Besikitas, imethibitika kuwa Arteta kaumia kifundo cha mguu, hivyo majeraha hayo yanaweza kumuweka nje wiki mbili au zaidi.

wachezaji ambao Arsenal imeonesha nia ni
William Carvalho na Sami Khedira. hivyo inamlazimu afanye utaratibu ili kuweka kikosi chake imara zaidi hata baada ya kiwango kisichoridhisha katika mechi iliyopita.


 Jambo hili limekuwa kamapigo kwa Arsene Wenger ambaye kwasasa analazimika kutafuta mbadala wake hivi punde kabla dirisha la usajili halijafungwa. Arsena imekuwa ni timu ambayo inapata tabu sana kila msimu kwa kupata majeruhi kwa wachezaji muhimu sana kwenye kikosi cha kwanza.
habari kutoka Daily telegraph.

0 comments:

Post a Comment

 
Top