Arsenal wapata fursa ya kuweza kumsajili Marco Reus kama Borussia Dortmund
wataridhia baada ya mchezaji wao kugoma kusaini mkataba mpya, Reus ambaye
katosa mkataba mpya na Dortmund.
![]() |
kocha wa Arsenal-Arsene Wenger mbioni kumsajili Marco Reus |
Mapema mwezi huu, Marco ameleta vita kwa timu za
Ulaya lakini Gunners imeripotiwa kwa kuongoza mbio hizo za kumsaka mchezaji
huyo matata akiwa uwanjani.
Inasemekana kutokana na kuongezeka kwa majadiliano
kwamba Reus anaweza kuuzwa msimu huu majira ya joto, Mkurugenzi Mtendaji Hans-Joachim Watzke wa
Dortmund amekataa mchezaji huyo kuuzwa na kudai kuwa swala kubwa si pesa, tutatizama
namna gani ya kumbakiza mchezaji wetu. 'Sisi tusubiri na kuona kama tunaweza
kuongeza umiliki wa Marco,' alisema Watzke.
Marco Reus amabaye garama yake itashuka hadi pauni 19.8milioni
majira ya pili kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25, msimu ujao itakuwa
ngumu sana kumbakiza katika kikosi chao na hivyo wanaweza kulzimika kumuuza
kipindi hiki ili kukwepa hasara.
hata hivyo Atletico Madrid na Manchester United walikuwa
mbioni kusaka saini ya mchezaji huyo lakini jitihada za kibiashara
haikufanyika.
0 comments:
Post a Comment