Bado haijawekwa wazi kama uwezekano huo upo au haupo. Majibu yatategemeana na viongozi wake na Timu kiujumla.
Manchester wanamvizia Xabi Alonso kuimarisha kikosi
Manchester United wanatafuta njia yoyote
kupeleka dau zuri ili kuweza kuwashawishi Real Madrid kuwaachia mchezaji wao
maarufu Xabi Alonso. Alonso mwenye umri wa miaka 32 anategemea kutua Old
Trafford ili kumuweka kocha mpya wa Man United Lous van Gaal katka nafasi nzuri
baada yakuona mwenendo wa timu yake hairidhishi.
0 comments:
Post a Comment