Menu

Real Madrid yaingia wasiwasi tangu kupatwa kwa majeraha kwa mchezaji wa muhimu Christiano Ronaldo. 

Mchezaji huyo muhimu na muhimili katika kikosi cha kwanza atarejea tena uwanjani huku club ikiwa na wasiwasi juu ya uwezo wake wa awali na mbwembwe zote akiwa uwanjani.
Licha ya hilo mchezaji wao mwingine muhimu Luka Modric kamwaga wino kwenye karatasi mkataba wa miaka minne (4), atajumuika na wachezaji wengine katika kupambana kusaka mataji yakutosha.

Real ambao tayari wamechukua kombe la UEFA mwaka 2013-2014 baada ya kuwapachika Atletico Madrid mabao 4-1. 

0 comments:

Post a Comment

 
Top