Menu

RODRIGUEZ AWAPANIA ATLETICO MADRD
Rodriguez kaweka wazi kuwa atakuwa na bao la ushindi katika mchezo wake wakati Real Madrid itakapo kutembelea Atletico Madrid katika Supercopa de Espana katika mchezo wa pili. Mchezaji huyo wakimataifa raia wa Colombia, ambaye aliwasili kutoka Monaco mwezi uliopita. Na, wakati akifafanua furaha yake katika fursa kwa Real, Rodriguez ametamba kuwa hatochezea fulsa zitakazo patikana mchezo wao unaofata siku ya Ijumaa.
Mchezaji mpya wa Real Madrid, James Rodriguez
"Nina furaha kwa sababu ni siku ambayo nilikuwa nimeota," alisema. "Mimi nilifunga bao, lakini sisi tulitakiwa kushinda lakini kwa bahati mbaya haijawa hivyo.
"Neema ya ushindi ilitakiwa kuwepo hapahapa kwanza, lakini sasa tuna kwenda nje kushinda hukohuko Calderon.
"kwasasa ni kuwa na subira,na kutumia nafasi muhimu tutazopata katika maeneo muhimu, kucheza mpira safi kwa pamoja na kutumia fursa zote, na lazima iwe hivyo” aliongezea Rodriguez.
"Nina matumaini yakutosha na naweza nikafunga goli tena huko Calderon na kujaribu kuisaidia timu yangu kushinda."
“Tunahamu sana kucheza tukiwa na mashabiki wetu na kunyakua kombe tena”

0 comments:

Post a Comment

 
Top