Menu

Smart life inakupa habari motomoto kwa nini 95% ya vijana kwa masikitiko makubwa wanajikuta  wanaisha kuwa marafiki na si wapenzi. 
Smart life wanasema kuondokona na hali hiyo ya kutoka kwenye urafiki wakudumu (friend zone) ni moja ya maswali mengi wanayopata kuulizwa kila siku.
smart life wanasema, Kuna sababu kuu mbili ambazo zinakukwamisha kila siku kushindwa kutoka katika "Friend zone” 

      1. Uwoga wa kutokuwa karibu.


Wadau wengi wa design hii hujikuta wapo karibu lakini siku zote wanaishi na kuheshimiana kama kaka na dada. Huenda kila mmoja akiwa na matumaini ipo siku mambo yatakuwa mazuri. Sijui kila mtu anadhani kuna mmoja ataamka asubuhi na kumwambia mwenzie “hey naomba tuwe wapenzi” kisha uruke kwa furaha? Mhhhh Laa hasha mambo hayapo hivyo.
Kinacho kulazimu kufanya ni kuweka mazingira
yanayowavuta au kuleta hisia ya mapenzi kati yenu, kama kukumbatiana mnapokuana tightly, kushikana mikono mnapotembea na kushika bega au shingo kwa sekunde kadhaa wakati wa maongezi yakila siku. Lakini taratibu na si kwa kasi ya ajabu kama vile unamshika mtu ambaye tayari ni mpenzi wako. Chakufanya unafanya kwa style ya kuibiaibia, acha uwoga Kama unataka kutoka kwenye “friend zone” lakini hili halikufikishi unapotaka kufika, ila litakusaidia. 
      2.  Kuleta hamasa baada ya mvuto.
kama nilivyosema kuna njia chache sana za kuweza kutoka kwenye “friend zone”, kuna kitu muhimu ningependa kuwapa tahadhari mapema. Kuna mbinu yakizamani ambayo haitakusaidia sanasana itakupotezea muda, mbinu hizo ni kama vile kuomba kutoka out kupata drinks au dinner, hayo tupilia mbali kabisa. Niyakawaida sana na hayana msukumo wowote labda kama mlishapendana basi mnatafuta sababu za kushawishiana.
Kuna njia mpya ambazo zita leta msisimko kwako na kwa mrembo pia ambazo zitakuletea ushindi mapema.
Kwanza kabisa omba mkutane sehemu tulivu yenye mvuto na itakayo mfanya ajisikie vizuri na awe na confidence yakutosha. Kuna vigezo vichache ambavyo mkiwa hapo vinaweza kuleta msisimko na muwashawasha Zaidi kwa wote wawili.
Hata kama umekutana na warembo ambao hawakuwa na shauku au hawana time na wewe basi utaona matokeo yake mazuri na ushirikiano toka kwao.mualike mrembo eneo lile lile mlilo kutana mwanzo ilia pate confidence.
Nini chakufanya kwanza.

Ukiwa katika eneo hilo jaribu kuongea na watu wa jirani wakike na kiume na usimkodolee mrembo wako macho muda wote mkiwa hapo. Hii itakusaidia kwani itamfanya awe attracted kwako. Pale akiona kama wanawake wengine wanamsukumo au furaha ya uwepo wako basi itamfanya mrembo azidi kuchanganyikiwa kutaka kuwa karibu na wewe Zaidi, hii itamfanya nae afanye vitu ambavyo vitakupa attention kwake. Hapo ndo patamu sasa!
Hiyo ndo itakuwa ndi golden chance yakuweza kukupa ushindi yakujitawwala na kudodosa machache wakati mkipiga story ndogo ndogo zinazoendana na mazingira, zingatia kuwa hiyo sio siku yaw ewe kurefusha mazungumzo marefu bali ni kuleta hamasa, ushawishi na kuweka mazingira mpaka pale atakapo kuwa kwenye himaya yako siku zijazo na kujichukulia ushindi.
Inabidi ujitambue kuwa wewe sie kama unavyodhani kwamba alimia 95 anajua ni kijana mzuri, muhimu sana kwake au vinginevyo. Chamuhimu ni wewe ujitambue unashirikianaje unapokuwa na mwanamke na unafanya yapi mnapoongea, na unamfanya ajisikie vipi? Unamfanya awe na hisia nzuri? Awe na furaha? Unampa mazingira yakuamini kwamba yuko na mwanaume wakujivunia? Unamfanya hadi asikie wivu ukianza kuongea na rafiki zake wakike? Basi hayo ndio mazingira yatakayo kutoa kwenye “friend zone” na kupata nafasi ya kuwa wapenzi.

Ongeza hali ya ukaribu na mgusano ambao unamfanya ajisike raha na kutojua hata chakufanya na kukuacha ufanye unachotaka wewe. Kibaya Zaidi wanaume wengi hawafikii hiyo level yenye amasa na mvuto kwa warembo kuwa tayari kwa mahitaji ya wanaume na yao kiujumla. Try first  to reach a peak!!

0 comments:

Post a Comment

 
Top