Sami Khedira kuktua Arsenal |
Imethibitika Sami Khedira kakubali kutua Arsenal, habari
zinazo toka kwa Guillem Balague
kwamba Chelsea wamesita mojo kwa moja kuweka nguvu za kutosha kwa kiungo
mkabaji wa Real Madrid Sami Khedira kwani wameshahisi kuna makubaliano binafsi
yameshafanyika ili kuweza kumchukua mchezaji huyo ambaye dau lake limeshuka
hadi Pauni 12 kutoka pauni 27. Kuporomoka huko kwa bei ya mchezaji huyo ni
kukubali kumuuza kwa shingo upande ili kutopata hasara mwakani kwani ataondoka
free of charge. Kwahiyo sasa imebaki kazi kwa Arsenal kumwaga mapesa yamnyakue
mchezaji huyo ambae kwasasa inathibitika kila kitu kipo shwari.
Hata hivyo kocha wa Chelsea Jose
hajatia nguvu ya kutosha licha kuwa na ukaribu au nafasi kubwa ya kuweza
kuchukua mchezaji kwa kuwa ana wachezaji viungo wakutosha kama Nemanja Matic,
John Mikel Obi, Cesc Fabregas and the Brazilian Ramirez.
0 comments:
Post a Comment