Menu

Van Gaal kama kajichimbia kabuli kwa uteuzi wa kepteni “wayne Rooney
Meneja wa Manchester United-Van Gaal
Hata hivyo, nyota wa zamani wa United Paul Parker anadhani kwamba licha ya kiwango kibovu kilichoonyeshwa na kikosi hicho, ni ukosefu wa uongozi ambao unaikabili United kwa wakati uliopita na wakati huu, hata hivyo uamuzi wa Louis van Gaal kwa kumteua Wayne Rooney kama nahodha wa klabu ni kama kajipiga kofi. Parker alieleza kuwa badala ya kutoa msukumo, Rooney alikuwa aliwafokea wachezaji wenzake uwanjani kwa kuonyesha ghadhabu kubwa.  Rooney ambae ni mcheza wa Uingereza. kaonyesha ujinga 'It is ridicolus'.

Paul Parker amesikitishwa na kiwango kilicho onyeshwa na timu yake ya zamani Manchester united huku akisema wazi kuwa uteuzi wa nahodha Wayne rooney haukuwa sahihi, mchezaji huyo (rooney) mara nyingi ameonekana ni mchezaji mwenye hasira sana na jeuri hasa mambo yake yanapokuwa si mazuri uwanjani.

0 comments:

Post a Comment

 
Top