SAMI KHEDIRA KAKUBALI KUTUA ARSENALSAMI KHEDIRA KAKUBALI KUTUA ARSENAL

Sami Khedira kuktua Arsenal  Imethibitika Sami Khedira kakubali kutua Arsenal, habari zinazo toka kwa Guillem Balague kwamba Chelsea wamesita mojo kwa moja kuweka nguvu za kutosha kwa kiungo mkabaji …

Read more »
23 Aug 2014

JINSI YAKUONDOKANA NA URAFIKI NA KUWA WAPENZI

Smart life inakupa habari motomoto kwa nini 95% ya vijana kwa masikitiko makubwa wanajikuta  wanaisha kuwa marafiki na si wapenzi.  Smart life wanasema kuondokona na hali hiyo ya kutoka kwenye urafik…

Read more »
23 Aug 2014

KASHFA YA JAY Z NA BEYONCE NA TETESI ZILIZO ZAGAA

Pamoja na wasiwasi uliotawala kuwa inakabiliwa kuwa na doa kwa wapenzi hawa mashuhuri Beyonce na Jay Z, Tina ambaye ni mama mzazi wa Beyonce ameihakikishia dunia nzima kuwa Bey na Jay  ndoa yao ipo "…

Read more »
22 Aug 2014

NI BORA KUVUTA SIGARA 15 KWA SIKU KULIKO KUWA MPWEKE (LONELY)

Kuna utafiti wa kisayansi umefanyika mwaka jana kuwa unasema kuwa lonely (mpweke) ni mbaya kwa afya yako zaidi ya yule anaevuta sigara 15 kwa siku.  Ilikuwa ni mshtuko kwangu kwamba  kutokuwa na uwez…

Read more »
22 Aug 2014

VIDEO YA SUAREZ ALIVYOMNG'ATA GIORGIO CHIELLINI HII HAPAVIDEO YA SUAREZ ALIVYOMNG'ATA GIORGIO CHIELLINI HII HAPA

Uliweza kutazama na kutambua jinsi mtukutu Suarez alivyo mng’ata mchezaji wa Italia Giorgio Chiellini? Hiyo hapo ni video yake jinsi gani mcheziji huyo toka Uruguay alivyomshindilia mwenzake meno beg…

Read more »
22 Aug 2014

 Fernando Torres kwenda Roma kwa mkopo Fernando Torres kwenda Roma kwa mkopo

Imethibitika kuwa Fernando Torres anaweza kuihama Chelsea mapema baada ya kikosi hicho cha Stamford Bridge kukamilika kwa wachezaji mashuhuri na kocha wake Jose  kutokuwa chagua la kwanza au kupewa k…

Read more »
22 Aug 2014

Manchester wanamvizia Xabi Alonso kuimarisha kikosiManchester wanamvizia Xabi Alonso kuimarisha kikosi

Manchester United wanatafuta njia yoyote kupeleka dau zuri ili kuweza kuwashawishi Real Madrid kuwaachia mchezaji wao maarufu Xabi Alonso. Alonso mwenye umri wa miaka 32 anategemea kutua Old Trafford…

Read more »
22 Aug 2014

Mtukutu Mario Balotelli kutua Liverpool muda wowoteMtukutu Mario Balotelli kutua Liverpool muda wowote

Mario Balotelli Mchezaji mtukutu kutoka AC Milan anatarajiwa kujiunga na timu ya Liverpool muda wowote baada ya ada ya uhamisho Pauni 16 milioni kukubaliwa.  Hata hivyo swala ambalo analiogopa kocha …

Read more »
22 Aug 2014

Ni William Carvalho au Sami Khedira kutua Arseanl?

Arsenal tayari sasa wanaanza mbio za kusaka kiungo wa kati baada ya nahodha wao Arteta kupata majeruhi  katika mechi iliyochezwa Jumanne iliyopita.  William Carvalho na Sami Khedira  Wenger akishuhudi…

Read more »
21 Aug 2014

Arsene Wenger aweka nia kumleta Marco Reus kwa washika bundukiArsene Wenger aweka nia kumleta Marco Reus kwa washika bunduki

Arsenal wapata fursa ya kuweza kumsajili  Marco Reus  kama Borussia Dortmund wataridhia baada ya mchezaji wao kugoma kusaini mkataba mpya, Reus ambaye katosa mkataba mpya na Dortmund. kocha wa Arsena…

Read more »
21 Aug 2014

Marco Reus katika anga za kutua BarcelonaMarco Reus katika anga za kutua Barcelona

baada ya uamuzi wa FIFA kuwasitisha Barcelona kuingia katika mchakato wowote wa kibiashara wakufanya usajili katika fursa mbili zote za usajili zijazo, umewafanya Barcelona walazimike kwa jitihada zot…

Read more »
21 Aug 2014

Paul Parker aponda Rooney kuwa nahodha wa Man UnitedPaul Parker aponda Rooney kuwa nahodha wa Man United

Van Gaal kama kajichimbia kabuli kwa uteuzi wa kepteni “wayne Rooney Meneja wa Manchester United-Van Gaal Hata hivyo, nyota wa zamani wa United Paul Parker anadhani kwamba licha ya kiwango kibovu ki…

Read more »
20 Aug 2014

Thomas Muller awatosa manchester UnitedThomas Muller awatosa manchester United

Thomas Muller aweka wazi kuwa alikataa ofa nono kutoka kwa Man UnitedInaonekana wazi kwamba pamoja na Manchester United kuwa na bakuli lao la fedha zakutosha  wameshindwa  kwavutia na kusajili wacheza…

Read more »
20 Aug 2014

Manchester United na Mpira wa kisiasaManchester United na Mpira wa kisiasa

Hivi Manchester united wanatumia mbinu za kisiasa kucheza mpira? Nilikuwa najiuliza hilo swali lakini baadae nikapata majibu yakutosha.  Najua unafahamu Manchester United chimbuko lake wapi! Ni Uinge…

Read more »
20 Aug 2014

Madrid waingiwa na wasiwasiMadrid waingiwa na wasiwasi

Real Madrid yaingia wasiwasi tangu kupatwa kwa majeraha kwa mchezaji wa muhimu Christiano Ronaldo.  Mchezaji huyo muhimu na muhimili katika kikosi cha kwanza atarejea tena uwanjani huku club ikiwa na …

Read more »
20 Aug 2014

Nitawafunga tena goli Atletico Madrid-James RodriguezNitawafunga tena goli Atletico Madrid-James Rodriguez

RODRIGUEZ AWAPANIA ATLETICO MADRD Rodriguez kaweka wazi kuwa atakuwa na bao la ushindi katika mchezo wake wakati Real Madrid itakapo kutembelea Atletico Madrid katika Supercopa de Espana katika mchez…

Read more »
20 Aug 2014

 Federico Fernandez atua Swansea City. Federico Fernandez atua Swansea City.

Swansea City wafanikiwa kumsajili beki wa Argentina Federico Fernandez. Baada ya kumaliza mchakamchaka majira ya joto na Argentina katika Kombe la Dunia, beki wa kati Federico Fernandez ameingia  kat…

Read more »
20 Aug 2014
 
Top